Intro
[G] [D] [G] [D]
Malaika, nakupenda malaika,
[G] [D] [G] [G7]
malaika, nakupenda Malaika.
[C] [Am] [D]
Nami nifanyeje, kijana mwenzio,
[D] [G] [D] [G] [D]
nashindwa na mali sina, we, ningekuoa Malaika,
N.C. [G] [D] [G] [D]
nashindwa na mali sina, we, ningekuoa Malaika.
Verse 1
[G] [D] [G] [D]
Pesa zasumbua roho yangu,
[G] [D] [G] [G7]
pesa zasumbua roho yangu.
[C] [Am] [D]
Nami nifanyeje, kijana mwenzio,
N.C. [G] [D] [G] [D]
nashindwa na mali sina, we, ningekuoa Malaika,
N.C. [G] [D] [G] [D]
nashindwa na mali sina, we, ningekuoa Malaika,
Verse 2
[G] [D] [G] [D]
Kidege, hukuwaza kidege,
[G] [D] [G] [G7]
Kidege, hukuwaza kidege,
[C] [Am] [D]
Nami nifanyeje, kijana mwenzio,
N.C. [G] [D] [G] [D]
nashindwa na mali sina, we, ningekuoa Malaika,
N.C. [G] [D] [G] [D]
nashindwa na mali sina, we, ningekuoa Malaika,